Phina Atangaza Kuachana na Meneja Wake - D Fighter

Phina Atangaza Kuachana na Meneja Wake - D Fighter

Phina Atangaza Kuachana na Meneja Wake - D Fighter


 Mwimbaji wa Bongofleva, Phina ametangaza kuachana na aliyekuwa meneja wake kwa muda mrefu, D Fighter.


Phina Atangaza Kuachana na Meneja Wake - D Fighter

Katika taarifa yake kwa umma, Phina amesema ameamua kuachana na meneja huyo kutokana na sababu zilizopo nje ya uwezo wake, phina ambaye ni mshindi wa Bongo Star Search (BSS) 2018, akifanya kazi na D Fighter ameshinda tuzo nne za Muziki (Tanzania) TMA.
Phina Atangaza Kuachana na Meneja Wake - D Fighter

Phina Atangaza Kuachana na Meneja Wake - D Fighter


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post